WASAKATONGE ~ shaby tech

Tuesday, May 5, 2015

UCHAMBUZI  WA  FASIHI SIMULIZI

WASAKATONGE


MWANDISHI: MOHAMED S KHATIBU
WACHAPISHAJI: OXFORD UNIVERSITY PRESS
MWAKA: 2003


FANI

JINA LA KITABU
Wasakatonge ni jina sadifu kulingana na yale ambayo mwandishi ameyaeleza katika kitabu. Mashairi mengi aliyoyaelezea mwandishi yanawagusa wasakatonge, walalahoi, wanyonge na watu wa tabaka la chini kwa ujumla wake. Katika kitabu kuna shairi la “Wasakatonge” shairi hili linabeba picha halisi ya jina la kitabu. Anazungumzia juu ya hali ngumu ya kimaisha ya watu hawa. Kazi wanazofanya ni ngumu na ujira kidogo. Anaona kuwa hali hii ya baadhi ya wananchi sababu yake ni viongozi wasaliti ambao waliwaweka wenyewe madarakani. Sio tu kwamba jina hili limesadifu tu yaliyo katika kitabu bali pia hata katika jamii. Mambo ya unyanyasaji na ukandamizwaji wa tabaka la chini yameoneshwa makusudi ili jamii iweze kurekebika na wanaohusika na hili wachukue hatua mara moja kupunguza idadi ya walahoi nchini.
FANI
MUUNDO
Mwandishi ametumia miundo ifauatayo:

Tathlitha
Mfano wa mashairi yaliyotumia muundo huu ni “Nilinde”, “Tutabakia wawili”, “Itoe kauli yako”, “usiku wa kiza”, “Sikujua”.

Sabilia
Mfano wa mashairi ni “Waso dhambi”, “Sikuliwa sikuzama”, “Madikteta”,“Si wewe?”,“Vinyonga”

Tarbia
Mfano ni shairi la “Mahaba”, “Machozi ya dhiki”, “Mcheza hawi kiwete”, “Sivui maji mafu”.

MTINDO
Mwandishi ametumia mtindo wa kisasa na wa kimapokeo.
Katika mashairi ya kisasa mwandishi ametumia ubunifu zaidi kwani yapo baadhi ya mashairi ambayo ameweka kiitikio mwishoni mwa ubeti mfano shairi la “Sikujua”, “Tutabakia wawili” “Jiwe si mchi”. Pia kuna mashairi mengine kama vile “Wanawake wa Afrika” “Nuru ya tumaini” “Hatuna kauli”.
Mashairi ya kimapokea mfano, “Mahaba”, “mcheza hawi kiwete” “Sivui maji mafu” na mengine.

MATUMIZI YA LUGHA
Tamathali za semi
Tashibiha
“lnanuka kama ng’onda” – “Kansa”
“Ni ndwele kama kansa” – “Kansa”
“Tubaki chanda na pete, kama udi na ambari”- “Nilinde”
“Hubakia kama wanga, mahepe tunachagawa” – “Nilichelewa kupendwa”
“Vimeenea Vinyonga                                                        
kama vile vimeleya” – “Vinyonga”

Sitiari
“Tabaki chanda na pete” – “Nilinde”
“Usijigeuze Popo” – “Itoe kauli yako”
“Ndwele ni maskini” – “Tiba isiyotibu”
“Mate si baragumu”- “Mtemea mate mbingu”
“Uchoyo ni sumu” – “Pendo tamu”

Tashihisi
“Inaumwa Afrika” – “Tiba isotibu”
“Radi yenye chereko” – “Afrika”
“Pendo lenye tabasamu” – “Pendo tamu

Mubaalagha
“Pendo tamu kama letu duniani hulikuti” – “Pendo tamu”.
Mbinu nyingine za kisanaa

Takriri
Mfano “nilikesha”- “nilikesha”
“Buzi” – “Buzi lisilochunika”
Matumizi ya semi

Misemo
“mcheza hawi kiwete, ngoma yataka matao” – “Mcheza hawi kiwete”

Ujenzi wa taswira
“Vinyonga” – “viongozi wasaliti” – “vinyonga”
 “Punda” – “Sikujua”.
“Chui na Simba”- “watu wenye mamlaka” – “miamba”
“Bundi” – wakoloni wanyonyaji” – “Bundi”
“Vindama”- “nchi zinazoendelea” – “fahali la dunia”.
“Fahali la dunia” – “nchi za ulaya”

Related Posts:

  • FORM FOUR MOCK EXAMINATION 30TH JUNE 2013      ENGLISH………Please answer the questions below and submit Section A - Comprehension and Summary1. Read the passage below carefully and answer the questions … Read More
  • NECTA GEOGRAPHY EXAM>>>MOCK FORM FOUR MOCK EXAMINATION 1st JULY 2013GEOGRAPHY Instructions 1. This paper consists of section A, B, C and D. 2. Answer all questions in section A , B and C and One (1) question from each part of section D 3. Map extr… Read More
  • FORM FOUR MOCK EXAMINATION 30TH JUNE 2013      ENGLISH………Please answer the questions below and submit Section A - Comprehension and Summary1. Read the passage below carefully and answer the questions … Read More
  • NECTA ENGLISH EXAM>>>MOCKFORM FOUR MOCK EXAMINATION 30TH JUNE 2013      ENGLISH………Please answer the questions below and submit Section A - Comprehension and Summary1. Read the passage below carefully and answer the questions … Read More
  • FORM FOUR MOCK EXAMINATION 30TH JUNE 2013      ENGLISH………Please answer the questions below and submit Section A - Comprehension and Summary1. Read the passage below carefully and answer the questions … Read More

0 maoni:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Social Icons

x

computer notes

choose your class

-certificate in IT  notes

-diploma in IT   notes

-bachelor in IT   notes

-short  course  notes

secondary school notes

Search This Blog

computer program kwa wanafunzi

softwares kwa PC students 2016

download

DOWNLOAD TEST





computer software's simple  window Executable



computer setup  form four

computer setup  form two

computer setup  form six 

computer setup  mock      

computer setup  answers 


click here download secondary students notes..before downloading make sure you have adobe photo shop in your phone or computer so that files can be opened..

these resources are free. except past papers you must pay... all files are scanned and safe to use, students form two up to six must make sure adobe photo shop program is installed in the phone or computer

click here to download full course download
form two.pdf    Image result for pdf icon download

form six.pdf Image result for pdf icondownload

form four.pdf Image result for pdf icondownload

answers past papers.pdfImage result for pdf icondownload